Articles

MATUKIO

ELIMU KUHUSU UZALISHAJI WA ZAO AINA YA PARACHICHI

Kampuni ya mtewele general traders imewafikia wakulima wa zao la parachichi Kijiji Cha makowo tarehe 5/6/2022 na wanandelea kunufaika na pembejeo Bora kutoka kampuni yetu.

MATUKIO

WASHINDI WA MASHINDANO YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAUME KOMBE LA MIYAO AMCOS YALIYOFANYIKA KATIKA KIJIJI CHA MIYAO WILAYANI MBINGA MKOANI RUVUMA

Kampuni ya Mtewele General Traders ya Njombe, Tumekabidhi zawadi za kwa washindi wa mashindano ya mpira wa miguu kwa wanaume kombe la Miyao AMCOS yaliyofanyika katika kijiji cha Miyao Wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.

MATUKIO

Kugawa Bure Taulo Za Kike Kwa Wanafunzi Wa Kike Wa Shule Za Sekondari Mkoani Njombe ( Tarehe 13/05/2022)

Kampuni ya MTEWELE GENERAL TRADERS ikishirikiana na kampuni ya ROSPER INTERNATIONAL Co. LTD ya Japan imegawa bure taulo za kike kwa wanafunzi wa kike wa shule za sekondari mkoani Njombe. Zoezi hili limefanyika shule ya sekondari Mpechi ambapo zaidi ya shule 18 zimegawiwa taulo hizo kiasi cha katoni zaidi ya 2,600 zenye thamani ya Tsh. 83,000,000/= Milion themanini na tatu.

MATUKIO

LIGI YA MIYAO AMCOS(MBINGA-RUVUMA) ILIYODHAMINIWA NA MTEWELE GENERAL TRADERS

Matukio katika picha Ni ligi ya MIYAO AMCOS(Mbinga-Ruvuma) iliyodhaminiwa na MTEWELE GENERAL TRADERS Bwanashamba wetu Roden Kulanga akikabidhi jezi za waamuzi na kalenda ya Kampuni Hongereni sana MIYAO kwa ubunifu na tunashukuru kwa kuchagua MTEWELE GENERAL TRADERS katika huduma za pembejeo na ushauri wa kitaalam.

MATUKIO

UZINDUZI WA DUKA JIPYA LA WAKALA WA MTEWELE GENERAL TRADERS KIJIJI CHA MAMONGORO

Tukitoa elimu Iliyoambatana na uzinduzi wa duka jipya la wakala wa Mtewele General traders Kijiji Cha Mamongoro.Pamoja za elimu juu ya matmizi sahihi ya mbolea zetu ikiwemo mbolea za kupandia ,mbolea za kukuzia pamoja na mbolea za kubebeshea kwa mazao yote ya nafaka(mahindi,uwele,ngano,mtama,shayiri) na mbogamboga (viazi)

MADUKA Na OFISI

ORODHA YA MADUKA YETU NA MAENEO YALIPO

ORODHA YA MADUKA YETU NA MAENEO YALIPO 1. DUKA LETU LIPO MBINGA MJINI BARABARA YA KUELEKEA KANISA LA ROMANI KATOLIKI KARIBU NA BENKI YA NMB. 2.DUKA LETU LIPO MJIMWEMA ENEO LA STENDI MPYA BARABARA YA NJOMBE-SONGEA JENGO LA MASISTA CHUMBA NAMBA MOJA. 3.DUKA LETU LIPO BARABARA YA NJOMBE-SONGEA JIRANI NA KITUO CHA MAFUTA GAPCO. 4.DUKA LETU LIPO BARABARA YA NJOMBE-SONGEA MTAA WA RAILWAY NJIA YA KUELEKEA GROLY HOTEL.

MATUKIO

MIONGONI MWA MASHAMBA DARASA MKOANI NJOMBE

MIONGONI MWA MASHAMBA DARASA MKOANI NJOMBE. Mashamba darasa haya yamefanyika kwa vitemdo kwakutumia mbolea aina ya YARAMILA WINNER kwa zao la viazi mviringo na kuhudumiwa vyema kwa viuatilifu husika .

MATUKIO

UPANDAJI WA SHAMBA DARASA LA MAHINDI AINA YA TEMBO 719 KUTOKA KAMPUNI YA SEEDCO KIJIJI CHA MTWANGO WILAYA YA NJOMBE.

Upandaji Wa Shamba Darasa La Mahindi Aina Ya Tembo 719 Kuotoka Kampuni Ya Seedco Kijiji Cha Mtwango Wilaya Ya Njombe. Kwa kufuata kanuni bora za upandaji,Nafasi pendekezi ni sentimeta 75 mtari kwa mtari na sentimeta 30 kati ya shimo hadi shimo (Punje moja kwa shimo)

MATUKIO

ELIMU KUHUSU MATUMIZI BORA YA MBOLEA NA VIUATILIFU KWENYE ZAO LA PARACHIHI KIJIJI CHA ULEMBWE

Elimu Kuhusu Matumizi Bora Ya Mbolea Na Viuatilifu Kwenye Zao La Parachihi Kijiji Cha Ulembwe, MKULIMA ALIELIMISHWA YA FUATAYO: Elimu bora juu ya uandaaji wa miche ya parachichi kwenye kitaru,Pia namna bora ya Uandaaji wa Shamba kwaajili ya Zao la parachichi na mbolea shahihi ya kupandia na kukuzia zao la parachichi (Faida za kutumia HAKIKA kwenye zao la parachichi) Pia Namna bora cha kupambana/ kudhibiti magonjwa na wadudu kwenye zao la parachichi. Mafunzo hayo yaliongozwa na Bwana Musa Lwinga ( Agronomist/Bwana shamba ) wa kampuni, Afisa masoko ALEX MAHENGE

MATUKIO

MAFUNZO JUU YA MATUMIZI SAHIHI YA MBOLEA YA KIASILI YA HAKIKA NA VIUATILIFU BORA KWENYE ZAO LA PARACHICHI KATIKA KIJIJI CHA USITA KATA YA ULEMBWE

Mafunzo Juu Ya Matumizi Sahihi Ya Mbolea Ya Kiasili Ya Hakika na Viuatilifu Bora Kwenye Zao La Parachichi Katika Kijiji Cha Usita Kata Ya Ulembwe. Mafunzo hayo yaliongozwa na Bwana Musa Lwinga ( Agronomist/Bwana shamba ) wa kampuni .

MADUKA Na OFISI

DUKA LETU LIPO MBINGA MJINI BARABARA YA KUELEKEA KANISA LA ROMANI KATOLIKI KARIBU NA BENKI YA NMB

Duka Letu Lipo Mbinga Mjini Barabara Ya Kuelekea Kanisa La Romani Katoliki Karibu Na Benki Ya Nmb. Tunauza Aina za Mbolea mfano.Mbolea za Kukuzia,Mbolea za Kupandia na Mbolea za Kunyunizia ,viuatilifu na Mbegu aina zote . Karibu sana . PIGA :0746 503 057 AU PIGA SIMU: +255 754 268 605 / +255 753 947 715 / +255 754 781 519 Barua Pepe: info@mgt.co.tz

MADUKA Na OFISI

MAKAO MAKUU YA MTEWELE GENERAL TRADERS AND INSURANCE AGENCY

Ofisi zetu kuu ziko mtaa wa posta,nyuma ya kanisa la kiinjili la kilutheri. Barabara ya CCM, Ni makao makuu ya MTEWELE GENERAL TRADERS Plot No.246, Block J, Ghorofa ya Pili Tunauza Magari aina mbalimbali,Pia tunauza Pembejeo za kilimo