MATUKIO

Kugawa Bure Taulo Za Kike Kwa Wanafunzi Wa Kike Wa Shule Za Sekondari Mkoani Njombe ( Tarehe 13/05/2022)

Kampuni ya MTEWELE GENERAL TRADERS ikishirikiana na kampuni ya ROSPER INTERNATIONAL Co. LTD ya Japan imegawa bure taulo za kike kwa wanafunzi wa kike wa shule za sekondari mkoani Njombe. Zoezi hili limefanyika shule ya sekondari Mpechi ambapo zaidi ya shule 18 zimegawiwa taulo hizo kiasi cha katoni zaidi ya 2,600 zenye thamani ya Tsh. 83,000,000/= Milion themanini na tatu.

Yefta Msemwa

jepthahcamis@gmail.com

softwaredeveloper, interprenuwers.

Follow Me:

Comments