Articles

MBOLEA

MBOLEA ZA KUNYUNYIZIA

Ni mbolea ambazo hutumika kunyunyizia kwenye majani ya mazao husika kwa lengo la kuchochea ukuaji na kuboresha mavuno.Mbolea hizi huchanganywa na maji kwa kiwango ambacho kinakubarika.

MBOLEA

MBOLEA ZA KUKUZIA

Mbolea za kukuzia;Ni mbolea zenye kiwango kizuri cha kirutubisho cha Naitrojeni (N) ambacho kazi yake kubwa ni kuupa mmea ukijani kibichi ili mmea uweze kujitengenezea chakula chake na kuufanya mmea kukamilisha mzungunguko wake wa maisha.Mfano wa mbolea hizi ni :-

MBOLEA

MBOLEA ZA KUPANDIA

Mbolea za kupandia;Ni mbolea zenye kiwango kizuri cha kirutubisho cha Fosforasi (P) ambacho kazi yake kubwa ni kuchochea ukuaji wa mizizi ili iweze kuchukua chakula(virutubisho) na maji kwenye udongo.Mfano wa mbolea hizi ni :-