MATUKIO

MKUTANO WA WAKULIMA ,WATAALAM Na WADAU MBALIMBALI WA KILIMO WAKISHIRIKI KATIKA MAONESHO YA #YaraKilimoExpo KATIKA VIWANJA VYA NANENANE MBEYA #JOHN MWAKANGALE

Bwanashamba (MUSA LWINGA) Kampuni ya Mtewele General Traders akihojiwa na vyombo vya habari kuhusu namna gani tumejipanga kuhudumia wakulima msimu 2023/2024 na namna gani wakulima wanaweza kuzalisha kwa tija ,kwenye maonyesho ya Yara Expo. Mbeya katika vinjwa vya JOHN MWAKANGALE kuanzia tarehe 24 july 2023 hadi 28 july 2023

Yefta Msemwa

jepthahcamis@gmail.com

softwaredeveloper, interprenuwers.

Follow Me:

Comments