MBOLEA

MBOLEA ZA KUNYUNYIZIA

Ni mbolea ambazo hutumika kunyunyizia kwenye majani ya mazao husika kwa lengo la kuchochea ukuaji na kuboresha mavuno.Mbolea hizi huchanganywa na maji kwa kiwango ambacho kinakubarika.

Mfano wa mbolea hizi ni=-

i.YaraVita Tracel Bz: Ni NPK yenye kiwango kikubwa cha Magnezium(Mg),Boron(B) na Zinki(Zn) ,inatumika kwenye mazo mengi kama Parachichi,maharagwe,kabichi,machungwa,kahawa na nk.

ii.Yaravita Power boost: Ni booster yenye kiwango kizuri cha Virutubisho aina ya Zinki na boron,hutumika kwenye mazoa mengi kama parachichi,kahawa nk.

iii.Crop boost:Ni booster yenye virutubisho kama Fosforasi(P),Potassium(K),Mg na Zn ,inafanya vizuri kwenye mazoa mbalimbali eg Viazi,Maharagwe,Nyanya,Vitunguu,karoti nk.

iv.Snowfert –Ni NPK(19-19-19 +Trace element): inafaa kutumika kwenye matunda na mazao ya mbogamboga na nafaka.

v.Wuxual –Ni NPK 24-24-18: Yenye virutubisho vidogovidogo eg B,Zn,Mn,Mo ,inafanya vizuri kwenye mazoa mengi ie Matunda ,nafaka,mbogamboga.

vi.Booster 12%N,Mg,Zn,B,iron,Mo,Cu: inatumika kwenye mazoa yote~matunda,mbogamboga,Nafaka.

NB:Mbolea zinazo nyunyiziwa kwenye majani ya zao siyo mbadala wa mbolea zinazowekwa kwenye udogo ,hivyo mbolea hizi hutumika kuchochea ukuaji na kuboresha mavuno tu.


 KARIBU TUKUHUDUMIE MTEJA


TUNAPATIKANA: NJOMBE,CCM Road / Post Office Behahind Lutheran Church,Plot No.246, Block J, Second Floor

 PIGA SIMU: +255 754 268 605 / +255 753 947 715 / +255 754 781 519

Barua Pepe: info@mgt.co.tz


Yefta Msemwa

jepthahcamis@gmail.com

softwaredeveloper, interprenuwers.

Follow Me:

Comments