FOR ALL INSURANCES AND AGRICULTURE INPUTS
Ili kilimo kilipe,unahitaji pembejeo sahihi.Mbolea ya YaraRega inatoa suluhisho la lishe ambalo linabadilisha mazao yako ya viazi na parachichi kuwa mazao ya kiwango cha soko la kimataifa.Kutoa lishe kamili siyo tu kunalinda mmea,bali kunaongeza uzito,ukubwa,na ubora wa mavuno yako.Wekeza kwenye mbolea bora kwa mavuno bora.Mtewele General Traders tumewaletea YaraRega 13-4-25,ufunguo wako wa kilimo chenye tija.
Ni mbolea ambazo hutumika kunyunyizia kwenye majani ya mazao husika kwa lengo la kuchochea ukuaji na kuboresha mavuno.Mbolea hizi huchanganywa na maji kwa kiwango ambacho kinakubarika.
Mbolea za kukuzia;Ni mbolea zenye kiwango kizuri cha kirutubisho cha Naitrojeni (N) ambacho kazi yake kubwa ni kuupa mmea ukijani kibichi ili mmea uweze kujitengenezea chakula chake na kuufanya mmea kukamilisha mzungunguko wake wa maisha.Mfano wa mbolea hizi ni :-
Mbolea za kupandia;Ni mbolea zenye kiwango kizuri cha kirutubisho cha Fosforasi (P) ambacho kazi yake kubwa ni kuchochea ukuaji wa mizizi ili iweze kuchukua chakula(virutubisho) na maji kwenye udongo.Mfano wa mbolea hizi ni :-