Latest News

ELIMU JUU YA UPANDAJI WA VIAZI KIJIJI CHA LUGENGE

Wakulima wakipewa elimu namna bora ya kupanda wa Viazi kwa vitendo kwa kuzingatia umbali kati ya kiazi kimoja na kingine pia umbali kati ya mtari mmoja wa viazi na mwingine na mbolea gani ni nzuri kwa viazi ,Viuatilifu gani na muda gani unapaswa kukuzia ikiwa mmea una hali gani, Yote hayo yalifanyka kijiji cha Lugenge Halmashauri ya Mji Njombe.

ELIMU JUU YA MATUMIZI SHAHIHI YA PEMBEJEO ZA KILIMO

Wakulima wakifundishwa matumizi sahihi ya pembejeo za kilimo kutoka kampuni Mtewele General traders , Mkoani NJOMBE juu ya Mbinu za masoko na wakulima kubadilika Kuoka kilimo cha asili kwenda kwenye kilimo chenye tija (kisasa) , Pia Kuzijua aina za mbolea na matumizi yake ,hapa ni kijiji cha KIYAULA kata ya LUGENGE. Mafunzo hayo yalikiongozwa na Bwana Musa Lwinga ( Agronomist/Bwana shamba ) wa kampuni